• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TAASISI ZAAGIZWA KUWATAMBUA WAFANYAKAZI HODARI 2024

Imetumwa : April 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mh. Remidius Mwema Emmanuel, amewaagiza wakuu wa taasisi wote wilayani hapo ambao hawajaweza kuwatambua wafanyakazi hodari kwa mwaka 2024 kufanya hivyo mara moja.

Maagizo  hayo yametolewa katika Ukumbi wa Chama cha Walimu (CWT) Kiteto kwenye Maadhimisho ya  Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo kiwilaya yameadhimishwa Aprili 29,2024.

Katika Maadhimisho hayo ambayo yalitanguliwa na maandamano ya wafanyakazi mbalimbali, watumishi hodari kutoka idara mbalimbali za halmashauri na kutoka baadhi ya taasisi walipongezwa kwa kupewa vyeti vya pongezi pamoja na fedha taslimu.

Akizungumza baada ya kukabidhi zawadi hizo kwa watumishi hodari, Mh. Mwema alionesha kutofurahishwa na baadhi ya taasisi wilayani hapo kutowatambua wafanyakazi waliofanya vizuri zaidi katika taasisi zao kwa mwaka 2024.

“Nafahamu wote kua ni wafanyakazi wazuri lakini lazma yupo mmoja ambaye amefanya vizuri zaidi. Ni vema kuwatambua watu kama hao na kuwapa motisha kwenye siku maalumu kama hii”, amesema Mh. Mwema.

Mh. Mwema ameongeza kwa kusema kwamba kumtambua mfanyakazi hodari haihitaji gharama kubwa hata kama taasisi haipo vizuri kifedha inaweza kumpa cheti peke yake au  barua pasipo kiasi cha fedha.

“Sio lazma apewe fedha, hata cheti tu kinatosha, hata barua tu inatosha na kuleta furaha na kuongeza morali ya kazi. Hivyo nina agiza taasisi zote ambazo hazijatawambua wafanyakazi hodari kufanya hivyo haraka iwezekananvyo na nipewe taarifa ifikapo Mei Mosi: aliongeza Mh. Mwema.

.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa