• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI WA MAMA SAMIA WAANZA KAZI KITETO

Imetumwa : September 24th, 2024

Timu ya Madakatari Bingwa na Bobezi  wameshawasili Wilayani Kiteto na kuanza kazi ya kutoa huduma kwa wananchi.



Akiongea wakati wakitambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kiteto,  Mwenyekiti wa jopo hilo la  Madakati Bingwa na Bobezi, Dkt. Victor Adolph, amesema kwamba ujio wao ni juhudi za kampeni ya  Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwasogezea karibu wananchi  huduma za kibingwa na bobezi.


Aidha, Dkt. Adolph ameongeza kwa kusema kwamba ujio wao pia mbali na kutoa huduma kwa wananchi, unalenga kubadilishana uzoefu na madaktari na wahudumu wa Afya wa Kiteto.


Nae Mkuu wa Wilaya Kiteto, Mh. Remidius Mwema, amemshukuru  Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea wananchi wa Kiteto huduma za kibingwa na bobezi maana inawapunguzia wananchi adha ya kusafiri kwenda nje ya Wilaya na Mkoa kwaajili ya huduma hizo.

"Tunamshukuru Mhe. Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujio wa madaktari hawa na tumefurahi  maana wapo wananchi  wanaohitaji huduma za kibingwa ila kwenda Dodoma  ni mbali na unakuta uchumi sio mzuri hivyo mtu anashindwa", amesema Mhe. Mwema.


Nae Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto, CPA. Hawa Abdul Hassan amemshukuru Mhe. Rais kwa ujio huu wa Pili wa madaktari Bingwa na Bobezi na kuwahamasisha wananchi wa Kiteto kujitokeza ili kuweza kupata huduma kutoka kwa madaktari hao bingwa na bobezi kwani mhe. rais amewasogezea huduma hiyo karibu.


Nae Mganga Mkuu (W), Dr. Vicent Gyunda, amesema timu yake ya afya katika Hospitali ya Wilaya imejipanga vyema kushirikiana na madaktari hao ili kuweza kuwahudumia wananchi wote wanatakaoenda kupata huduma hizo za kibingwa.


Madaktari hao wameanza kutoa huduma Septemba 24, 2024 na wataendelea kutoa huduma mpaka siku ya Jumamosi Septemba. 28, 2024.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa