• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TOIMA AIPONGEZA KITETO KWA KUJENGA MAJENGO MATATU KATIKA HOSPITALI WILAYA

Imetumwa : December 4th, 2023

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara, Ndugu Peter Toima, ameipongeza Kiteto kwa uamuzi walioufanya wa kubadilisha matumizi  ya fedha na kujenga majengo matatu katika hospitali ya wilaya badala ya kufanya ukarabati.

Hayo ameyaongea Desemba 3, 2023 katika majumuisho ya ziara ya Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Manyara wilayani hapo. Toima amesema, maumuzi ya kujenga majengo hayo mapya badala ya kukarabati yaliyopo yalikua ni maamuzi ya hekima, busara na ya kizalendo.

“Kwakweli nawapongeza sana kwa maamuzi hayo kwani yamezingatia uhitaji uliopo na hakika nikiri kwa kusema kwamba kazi kubwa imefanyika”, aliongeza Ndugu Toima.

Awali akitoa taarifa ya mradi huo Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dr. Orestus Sakweli, amesema kwamba Kiteto ilipokea kiasi cha fedha shilingi  900,000,000 kutoka serikali kuu  kwaajili ya kukarabati majengo yaliyopo.

“Kutokana na uchakavu wa majengo yaliyopo, Halmashauri ya Wilaya iliamua kutofanya ukarabati badala yake kuanza ujenzi wa majengo muhimu matatu ambayo ni Jengo la upasuaji, jengo la maabara na jengo la mama na mtoto” alisema Dr. Sakweli.

Awali kabla ya kutembelea mradi huo katika Hospitali ya Wilaya, Ndugu Toima pamoja na wajumbe wa kamati hiyo, walitembelea mradi wa Maji Magungu na kuagiza watendaji wilayani hapo kuhakikisha kua wananchi katika kijiji cha Emarti pia wananufaika na mradi huo.

Mradi wa Maji katika kata ya Magungu ambao unatekelezwa na RUWASA, ulianza kutekelezwa Septemba 2022, na umegharimu kiasi cha fedha Bilioni 1.3. Meneja wa Ruwasa  Wilayani Kiteto, Mhandisi Stephano, Mbaruku,  amesema kwamba mradi huo umekamilika na kwa sasa unahudumia vijiji viwili kati ya vitatu katika kata hiyo  ambavyo ni kijiji cha   Magungu na kijiji cha  Nhati.

Kabla ya mradi huo kuanza, upatikanaji wa maji katika kijiji cha Magungu ulikua ni 30% na upande wa Nhati ulikua 0% ila mradi huo umefanya upatikanaji wa maji katika vijiji hivyo viwili kwa sasa kuwa 100%.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • TUUENZI MUUNGANO WETU

    April 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa