• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tumieni Wahandisi wa Ndani – RC Mnyeti

Imetumwa : January 18th, 2018

                                          Mkuu wa Mkoa wa Manyara  akisikiliza maelezo kuhusu ujenzi wa jengo Jipya la Halmashauri ya Kiteto 

waliosimama pembeni yake ni Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mhe. Tumaini Magessa (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ndugu Tamim Kambona ( kulia)                                        

  Mkuu wa Mkoa wa Manyara  pamoja na ujumbe alioambatana nao wakikagua   jengo Jipya la Halmashauri ya Wilaya ya  Kiteto  ambalo ujenzi wake unaendelea


              

Tumieni Wahandisi wa Ndani – RC Mnyeti

Mkuu wa mkoa wa Manyara Mhe. Alexander Mnyeti  ameiagiza  halmashauri ya wilaya ya Kiteto  kutumia wahandisi ujenzi walioajiriwa na halmashauri hiyo katika kujenga majengo yake ili kupunguza gharama  za ujenzi.Mheshimiwa Mnyeti ameyasema hayo alipokuwa akikagua  jengo jipya  la halmashauri ya wilaya ya Kiteto  lililopo katika kata ya Bwagamoyo ambalo ujenzi wake unaendelea.


Akisisitiza kuhusu kutumiwa kwa wahandisi hao mheshimiwa Mnyeti anasema ‘‘mkurugenzi wakati mwingine mnapokuwa na miradi ya ujenzi kama hivi ,tumia wahandisi wako.Serikali imesomesha wataalamu wake,wataalamu hao  wanatakiwa watumiwe katika miradi  kama huu ili  utaalamu walioupata darasani wautumie kwa faida na maendeleo ya serikali yao’’.


Aidha mheshimiwa Mnyeti amesema kwamba  mradi huo  gharama yake ni   shilingi  bilioni  4, na hapohapo mkandarasi hana mtaji anategemea pesa hiyo hiyo anayolipwa ndio afanyie kazi,wakati ingetumika force akaunti ,wahandisi wa ndani na mafundi wa kawaida  gharama zisingefika hapo, na yawezekana mradi huo ungekwisha kukamilika.Mheshimiwa Mnyeti ametoa mfano wa ujenzi wa majengo ya ofisi  yaliyojengwa makao makuu ya mkoa wa Manyara ( Babati) ambayo kwa kutumia force akaunti , wahandisi wa ndani na mafundi wa kawaida yamegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 900 hadi kukamilika.


Force akaunti ni njia ya  malipo inayotumika  katika majiji, manispaa na halmashauri kwa kazi za ziada  katika kazi za ujenzi kama mkandarasi na mhandisi hawako tayari kujadiliana  kuhusu bei  kwa kazi nyingine mpya zitakazoongezeka. Lengo la kutumia force akauti  ni ili mkandarasi afanye kazi za ziada kwa gharama ile ile.


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa