• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"Tutaendelea Kutumia ‘Force Account ’’ Waziri Jaffo

Imetumwa : April 4th, 2018

Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  Mhe. Selemani Jaffo akitoa maelekezo baada ya kukagua ujenzi wa mabweni na madarasa katika shule ya sekondari Engusero.

wakuu wa idara za halmashauri  na  wakuu wa taasisi mbalimbali wilayani Kiteto wakisalimiana na waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo wakati alipowasili katika shule ya sekondari Engusero  katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Sunya, wilayani Kiteto.

 Bweni  moja wapo kati ya mabweni  mawili  yaliyojengwa katika shule ya sekondari Engusero, ambayo yamekaguliwa na Mhe. Selemani Jafo  wakati wa  ziara yake katika shule hiyo iliyopo kata ya Engusero ,wilayani Kiteto.

 Darasa moja wapo kati ya madarasa manne  yaliyojengwa katika shule ya sekondari Engusero, ambayo yamekaguliwa na Mhe. Selemani Jafo  wakati wa  ziara yake katika shule hiyo iliyopo kata ya Engusero wilayani Kiteto.

 Mhe. Selemani Jaffo akisikiliza maelezo  kutoka kwa Mkurugezi Mtendaji( W) Kiteto Ndg. Tamim Kambona kuhusu  madarasa na mabweni  yaliyojengwa katika shule ya sekondari Engusero, wakati wa  ziara yake katika shule hiyo iliyopo kata ya Engusero wilayani Kiteto.


Wanafunzi wa shule ya sekondari Engusero  wakimsikiliza waziri wa OR - TAMISEMI Mhe.  Selemani Jaffo  wakati  akizungumza nao katika ziara yake  shuleni hapo kukagua ujenzi wa mabweni na madarasa ,katika  shule hiyo iliyopo katika kata ya Engusero, wilayani Kiteto.

Waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Selemani  Jaffo   akitoa maelekezo kuhusu ujenzi wa barabara ya Namelock - Sunya wakati akikagua barabara hiyo , katika ziara yake  wilayani Kiteto  .


Waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Selemani  Jaffo   akikagua makaravati katika  barabara ya Namelock - Sunya katika ziara yake  wilayani Kiteto  .


Jengo moja wapo kati ya majengo yanayojengwa katika kituo cha afya Sunya ambayo yamekaguliwa na Waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Suleimani Jaffo  wakati wa ziara yake kituoni hapo kukagua ujenzi  huo.

Waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Suleimani Jaffo akisikiliza maelezo  kutoka kwa mhandisi wa H/W Kiteto  Mhandisi Chogo Mang'era kuhusu ujenzi katika kituo cha afya . Katika ziara yake kituoni hapo kukagua ujenzi  huo


Waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Suleimani Jaffo akizungumza na wananchi wa kata ya Sunya  katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Sunya, wilayani Kiteto.

Wananchi wa kata ya Sunya pamoja na wakuu wa idara za halmashauri  na  wakuu wa taasisi mbalimbali wilayani Kiteto wakimsikiliza waziri wa OR - TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Sunya, wilayani Kiteto.



…….. HABARI KAMILI………



Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  mheshimiwa  Selemani  Jaffo amesema kwamba  halmashauri zitaendelea kutumia 'force account', kwa sababu mafundi wanao na wamewaajiri wahandisi katika halmashauri, ambapo kazi yao kubwa ni kusimamia kazi za ujenzi. Mheshimiwa Jaffo ameyasema hayo wakati akikagua ujenzi wa madarasa na mabweni  katika  shule ya sekondari  Engusero, iliyopo kata ya Engusero, wilayani Kiteto jana.


Mhe. Jaffo amesema kwamba  utaratibu wa wizara yake kwa sasa ni kutumia 'force account',kwani kwa kufanya hivyo fedha za serikali zinaweza kutimiza malengo yaliyokusudiwa,kwa sababu kuwatumia wakandarasi ni gharama kubwa  zaidi tofauti na gharama ambazo zinatumika wakati ambapo kazi za ujenzi zinafanywa na mafundi wa kawaida na kusimamiwa na wahandisi walioajiriwa na halmashauri.


Aidha Mhe. Jaffo amepongeza kazi ya ujenzi  inayofanyika katika shule hiyo, ambapo amesema ‘‘Naona kazi inakwenda vizuri,kwa macho ya harakaharaka mmezitendea haki zile fedha, kwa sababu naona bweni hili,na mmeniambia kuna bweni lingine na  kuna madarasa manne, yote  yanajengwa. Na baadae mtajenga vyoo, matundu matano matano kila bweni.Huu  ndio utaratibu wa ofisi ninayoongoza mimi sasa. Nataka kila mtu awajibike, na fedha ikija lazima ilindwe”.


Akionyesha kuridhishwa na kazi ya ujenzi iliyofanyika  Mheshimiwa Jaffo amesema ‘‘ndio maana siku zote nimekuwa nikitoa maelekezo kwamba lazima tutumie 'force account' ,pesa tuliyoleta  milioni 215 mngesema mtumie mkandarasi,maana yake milioni 215 yote mkandarasi angesema anawatengenezea bweni hili moja peke yake.Lakini kwa sababu imetumika 'force account',tunapata jengo hili limekamilika na vitanda vyake, tunapata jengo lingine la bweni  na tunapata madarasa manne”.


Vilevile Mhe. Jaffo amekagua barabara ya Namelock - Sunya  yenye urefu wa Kilometa 88.I ambayo ujenzi wake unaendelea ,ambapo ameonyesha kutoridhishwa na kiiwango cha ujenzi wa madaraja na makaravati ,hali iliyomsababisha kutoa agizo  la kusitishwa  kwa ujen

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa