• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UFUATILIAJI WA MIRADI YA BOOST INAYOTEKELEZWA KUPITIA DIVISHENI YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI

Imetumwa : December 17th, 2024

Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi, Bi. Elizabeth Mlaponi, akiwa ameambatana na wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, wamefanya ziara ya ufuatiliaji wa maendeleo ya miradi ya BOOST inayotekelezwa kupitia divisheni hiyo.


Miradi hiyo inahusisha ujenzi wa jumla ya vyumba vya madarasa 21 na matundu ya vyoo 48 katika shule za msingi saba.


Jumla ya thamani ya miradi hii ni zaidi ya shilingi milioni 780.


Shule zinazotekelezewa miradi hiyo ni:


1. Shule ya Msingi Enguserosidan (vyumba vya madarasa 2, matundu ya choo 6).


2. Shule ya Msingi Nalangtomon (vyumba vya madarasa 2, matundu ya choo 6).


3. Shule ya Msingi Olgira

(vyumba vya madarasa 2, matundu ya choo 6).


4. Shule ya Msingi Malimogo (vyumba vya madarasa 2, matundu ya choo 6)


5. Shule ya Msingi Kurash (vyumba vya madarasa 3, matundu ya choo 6).


6. Shule ya Msingi Olkitikiti (vyumba vya madarasa 3, matundu ya choo 6)


7. Shule ya Msingi Oloimugi (vyumba vya madarasa 7, matundu ya choo 12)


Ukaguzi huu una lengo la kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ubora unaostahili, kwa wakati, na inakidhi mahitaji ya wanafunzi katika maeneo husika.


Bi. Mlaponi amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa miundombinu hii muhimu, huku akisisitiza uwajibikaji na matumizi bora ya fedha za miradi kwa manufaa na maendeleo ya wilaya ya Kiteto.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa