Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Utekelezaji Chanya wa Miradi Bora ya Maendeleo Yaleta Furaha kwa Wananchi Katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.

Imetumwa : August 25th, 2019




Wajumbe wa Kamati ya Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Wakisikiliza Maelezo Mbalimbali ya Mradi Huu Toka kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kijungu tarehe 23.08.2019 

Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Viwili (2)  vya Madarasa Ambapo Ofisi ya Mkurugenzi Imejenga Madarasa Matatu (3) kwa kiwango bora na thamani ya fedha ya Tshs. 46,000,000/=. Kama Yanavyoonekana Hapo Juu katika Shule ya Msingi Kijungu Kata ya Kijungu Halmashauri ya Wilaya Kiteto.

Ujenzi wa  Choo Matundu Sita (6) Shule ya Msingi Kijungu



Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Viwili (2)  vya Madarasa Ambapo Ofisi ya Mkurugenzi Imejenga Madarasa Matatu (3) kwa kiwango bora na thamani ya fedha ya Tshs. 46,000,000/=. Kama Yanavyoonekana Hapo Juu katika Shule ya Msingi Mbikasi Kata ya Sunya Halmashauri ya Wilaya Kiteto.




Mradi wa Ukamilishaji Ujenzi wa Vyumba Viwili (2)  vya Madarasa Ambapo Ofisi ya Mkurugenzi Imejenga Madarasa Matatu (3) kwa kiwango bora na thamani ya fedha ya Tshs. 25,000,000/=. Kama Yanavyoonekana Hapo Juu katika Shule ya Msingi Kiteto Kata ya  Laiseri Halmashauri ya Wilaya Kiteto.

Ukamilishaji wa Ujenzi wa Chumba 1 cha  Darasa na
Kupaua Chumba 1 cha Darasa Shule ya Msingi Ukombozi Kata ya Engusero Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.

Ujenzi wa Vyumba 2 vya  Madarasa  Shule ya Msingi Makame Kata ya Makame Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.

Mradi wa Ukamilishaji Ujenzi wa Vyumba Viwili (3)  vya Madarasa Kama Yanavyoonekana Hapo Juu katika Shule ya Sekondari Loolera Kata ya   Loolera Halmashauri ya Wilaya Kiteto.


 ------------------------------------------------ HABARI KAMILI ------------------------------------------------



Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ilifanya ukaguzi wa miradi tarehe 23-24.08.2019 katika Kata 17 ambazo ni Makame, Njoro, Olboloti, Chapakazi, Dosidosi, Bwawani, Matui, Namelock, Kaloleni, Bwagamoyo, Loolera, Kijungu, Lengatei, Sunya, Laiseri, Magungu, na Engusero.

Kiujumla Hali ya Utekelezaji wa Miradi ni mzuri sana kwa kuangalia ubora wa majengo husika, gharama ndogo ukilinganisha na bajeti ilopangwa na idadi kubwa ya vyumba vya madarasa kutoka 19 yaliyotarajiwa lakini yamejengwa madarasa 32 yaani ni sawa na ongezeko la 40.6% kwa madarasa 13 yaliyoongezeka kwa thamani ile  ile ya 593,735,221/= Miradi mizuri zaidi ni ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Katika Shule za Msingi Makame, Chekanao, Azimio, Bwawani, Kijungu, Mbikasi, na ujenzi wa mabweni na vyumba vya madarasa katika Shule ya Shule ya sekondari Kiteto.


Wachangiaji wa fedha hizi za miradi ni Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kwa kutumia mapato ya ndani (Own source) na wadau wengine ikiwamo Serikali kuu, Mfuko wa jimbo, Taasisi ya Elimu Tanzania, Benki ya NMB na mradi wa EP4R wa Tanzania.


Wananchi wa Wilaya ya Kiteto wanafuraha baada ya kuona utekelezwaji wa miradi hii katika Kata zao kwa vitendo itawasaidia kuondoa kero mbalimbali za kielimu hususani kupunguza msongamano wa wanafunzi itakayopelekea kuongeza ufaulu wa wanafunzi ambapo anayefaidika ni mwananchi husika.


Kamati inaunga mkono matumizi ya (force account) ili kuongeza tija ya kutekeleza miradi mingi zaidi, usimamizi wa dhati wa miradi husika na kuongeza juhudi ya kukusanya mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya hii itapelekea kuongeza wigo zaidi wa kuongeza miradi mingine kwa wananchi.

Nawasilisha.


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa