• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"VIJANA JIUNGENI KWENYE VIKUNDI ILI MUWEZE KUNUFAIKA NA MIKOPO YA 10%" - Ussi

Imetumwa : July 14th, 2025

Vijana wilayani Kiteto wameaswa kuacha kukaa vijiweni pasipo na kazi na  kujiunga kwenye vikundi ili waweze kunufaika na mikopo inayotelewa na halmashauri.


Rai hiyo imetolewa Julai 13,2025 na Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa , Ndg. Ismail Ali Ussi mara baada ya kutembelea mradi wa kikundi cha vijana Weredi Studio.


Kikundi cha Vijana Weredi Studio ni moja ya vikundi 39 vya vijana  ambavyo vimenufaika na mkopo wa 10% kutoka halmashauri ambapo vikundi hivyo vyote vimepokea mkopo wenye thamani ya zaidi ya milioni 111. 


Kikundi hiki kilinufaika na mkopo wa shilingi milioni 10 ambayo iliwasaidia kufanya  ukarabati wa  studio na pia iliwasaidia kuongeza mtaji ambapo walinunua vitendea kazi.


Upatikanaji wa mkopo kwa kikundi hicho,  umewawezesha vijana hao kufanya kazi kwa ufanisi na kuwawezesha  kufanya kazi ndani na nje ya wilaya hivyo kujiongezea kipato na kuzalisha ajira kwa vijana wenzao. 


Aidha kikundi hicho kimeanza kuelimisha vijana wengine kuhusu kujiunga kwenye vikundi ili kuweza kujikwamua kiuchumi na kuachana na dawa za kulevya na tabia hatarishi.


Katika mwaka wa fedha 2024/2025 halmashauri imeweza kutenga zaidi ya shilingi 279 kwaajili ya kuwawezesha kiuchumi  vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye walemavu na kiasi hicho chote kilishawekwa kwenye akaunti maalumu ya vikundi vya makundi hayo. 

Ndg. Ussi ameipongeza halmashauri kwa juhudi wanayofanya ya  kutenga fedha kwaajili ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili kuwawezesha kutekeleza miradi ya kiuchumi .


Aidha aliwahimiza vijana kujiunga kwenye vikundi ili waweze kunufaika na mpango huo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "VIJANA JIUNGENI KWENYE VIKUNDI ILI MUWEZE KUNUFAIKA NA MIKOPO YA 10%" - Ussi

    July 14, 2025
  • SEHEMU YA MICHANGO YA MWENGE YATUMIKA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA.

    July 14, 2025
  • Bahati iliyoje! Mtoto Azaliwa Masaa Machache Kabla ya Uzinduzi wa Zahanati, Apewa Jina la Mkimbiza Mwenge.

    July 14, 2025
  • JESHI LA POLISI KITETO LAPONGEZWA KWA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA

    July 14, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa