• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Viwanda Vyahimizwa Kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Nchi Ili Kuweza Kuwa na Bidhaa Bora Kwa Walaji

Imetumwa : February 4th, 2020

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Emanuel Mwagala (aliyesimama) Akifungua Kikao cha Kamati ya Lishe Jana tarehe 03.02.2020 Kilichofanyka Katika Ukumbi wa Jengo la Utawala Katika Hospitali ya Wilaya ya Kiteto.


Idara na Sekta Mbalimbali Wakiwasilisha Taarifa Zao Katika Kikao Hicho. 


Picha za Wajumbe Mbalimbali wa Kikao 

Kwa Niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kiteto, Bi.Beatrice Rumbeli Akiendesha Kikao

Kwa Niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kiteto Bi.Beatrice Rumbeli Akiahirisha Kikao.






---------------------------------------------------------- HABARI KAMILI -------------------------------------------------------------



Hayo yamejiri jans tarehe 03.02.2020 katika kikao cha lishe cha robo ya pili kilichofanyika katika ukumbi wa jengo la utawala, Hospitali ya Wilaya ya Kiteto. Katika kikao hicho imefahamika kuwa Serikali inatoa leseni kwa wananchi wote wenye viwanda lakini hii ni baada ya kujuridhisha katika mambo kadhaa yanayohusiana na kiwanda husika ikiwa ni kwa maslahi mapana ya mwenye kiwanda na walaji kwa ujumla wao.

Kamati ya chakula na dawa ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kwa kushirikiana na ofisi ya Afya usafi na Mazingira wanamalaka kisheria kutoa elimu na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika viwanda hivi na kumshitaki yeyote anayeenda kinyume na utaratibu wa serikali.

Hata hivyo kamati za wazazi zinazochangisha na kupokea chakula mashuleni zimehimizwa kuwa makini katika vigezo vya uagizaji na upokeaji wa vyakula husika na kukagua kabla ya kupokelewa na pia kuhifadhiwa na uandaaji wake hadi kuwa chakula ili kulinda afya za wanafunzi hao ambao taifa linawategea kama nguvu kazi ya siku za usoni. 

Wazazi wanaendelea kuhimizwa kuchangia chakula kwa ajili ya faida endelevu ya kimwili na kiakili kwa watoto wao wenyewe kwani mtoto atapata lishe bora ambayo kwa umri wa mtoto alionao ni msingi mzuri sana wa kuimarika kiafya ambapo maisha yake yote hujengwa msingi imara wa kutodumaa huku akili yake inakuwa tayari kwa kusoma muda wote hivyo hatapoteza muda wa masomo katika kutembea kwenda nyumbani, matokeo yake ni kupandisha ufaulu wa watoto wetu ambao kwa baadaye ndiyo wataalamu tunaowategemea katika familia na taifa kwa ujumla wake kwenye fani mbalimbali za sayansi, biashara na sanaa kama vile udaktari, uhandisi, kompyuta na zingine nyingi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

    September 11, 2025
  • UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NI TISHIO LA MAISHA LAKINI TUMAINI LIPO KUPITIA CHANJO

    September 04, 2025
  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa