• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAASWA KUFANYA KAZI KWA UELEDI NA UAMINIFU

Imetumwa : September 18th, 2024

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Kiteto, CPA. Hawa Abdul Hassan, amewaasa Maafisa Waandikishaji  Wasaidizi ngazi ya Kata kufanya kazi kwa ueledi na uaminifu.


Rai hiyo imetolewa Septemba 18, 2024 katika Ufunguzi wa Mafunzo ya Maafisa Waandikishaji Wasaidizi Ngazi ya Kata Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.


Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo maafisa hao kwenye ujazaji wa fomu mbalimbali ambazo zitatumika kwenye zoezi la uboreshaji wa Daftari pamoja na kujengewa uwezo wa utumiaji wa mifumo na vifaa vya uandikishaji.


"Naamini mtafanya kazi kwa ueledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hili na kuweza kufikia malengo", amesisitiza Afisa Mwandikishaji huyo.


Aidha amesema kwamba kila mmoja wa Maafisa hao anawajibika kutunza vifaa watakavyo tumia kwani vimenunuliwa kwa gharama kubwa na vitahitajika kufanya kazi katika majimbo mengine.


Kabla ya ufunguzi wa mafunzo hayo, Maafisa hao  Waandikishaji Wasaidizi Ngazi ya Kata, waliapa kiapo cha Uaminifu na Kutunza Siri katika zoezi hilo. Kiapo hicho kimetolewa mbele ya Hakimu wa Wilaya Mhe. Mossy Soro Sasi.


Mara baada ya kupewa  mafunzo hayo ya siku mbili, Maafisa hao  wanatarajiwa kuendesha mafunzo kama hayo kwa Waandishi Wasaadizi  na Waendesha Mashine za BVR.

Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Jimbo la Kiteto linatarajiwa kuanza Septemba 25 hadi Oktoba 1, 2024.

"Kujiandikisha kuwa Mpiga Kura, ni Msingi wa Uchaguzi Bora".


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa