• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Menejimenti ya Halmashauri (CMT) Yakagua Miradi Mbalimbali ya Maendeleo Wilayani Kiteto Kuanzia Tarehe 13-15/06/2017 Ili Kuhakiki na Kujiridhisha Uhalisia wa Utekelezaji na Kubaini Changamoto Zilizopo na Kuzitatua Kwa Wakati.

Imetumwa : June 16th, 2017

Kutoka Kushoto ni Mtaalamu, Kisha Mh. Diwani Kata ya Kiperesa (aliyevaa kaki) wakitoa maelezo ya Miradi ya Maendeleo Iliyoitembelewa. Mwenye Suti Nyeusi ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji - Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. John Malle, Wengine ni Kaimu Afisa Mipango (W) Bw. Edga Kavenuke (Shati jekundu), Mwandishi wa Vikao Bw. Athumani Kituru (bluu bahari) na Mwisho ni Mtunza Hazina wa Wilaya Bw. Nassoro Mkwanda, Kaimu Afisa Elimu Msingi (W) Bw. Nyongo


Maghala Mawili (2) Ambapo Kila Moja Lina Uwezo wa Kuhifadhi Gunia Zaidi ya Elfu Tatu (3000) Hizi ni Fursa na Vitega Uchumi vya Kudumu kwa Wananchi wa Kata ya Kiperesa.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji - Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. John Malle (Mwenye Suti Nyeusi) Katika Zoezi hilo la Ukaguzi Shule ya Msingi Chekanao.

UJenzi wa Vyumba vya Madarasa Matatu (3) Unaendelea Shule  ya Msingi Chekanao.

Matofali na Malighafi kwa Ujenzi Huo.

Ujenzi wa Wodi Zahanati ya Matui

Ujenzi wa Jengo la Zahanati Kijiji cha Nchinila.


Ujenzi wa Kituo cha Afya Kata ya Songambele.


Mhandisi wa Halmashauri (W) G.Matindi akihakiki Mlango na Kitasa Husika.

Mhandisi wa Halmashauri (W) G.Matindi Akitoa Maelezo, Hili ni Shimo la Maji Taka Katika Zahanati Hii ya Kijiji cha Emarti Kata ya Magungu.


Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa manne (4) shule ya Msingi Dongo Kata ya Dongo.


Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa Mawili (2) Shule ya Sekondari Engusero.

Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa Matatu (3) Shule ya Sekondari Loolera, Kata ya Loolera.

Choo cha Matundu Sita (6) Shule ya Msingi Loolera, Kata ya Loolera.

Malighafi za Ujenzi wa Shule Hii Unaoendelea.

Ujenzi wa Vyoma vya Madarasa Mawili (2) Shule ya Msingi Engusero Sidani.


Ujenzi wa Nyumba ya Walimu (2 kwa 1) Shule ya Msingi Engusero Sidani Kata ya Laiseri.

 




Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Kama Bango Linavyoonyesha Hapo Juu. Msimamizi wa Ujenzi Husika Akitoa Maelezo kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) Kiteto Bw. John Malle (kulia mwenye sweta la kahawia), Hao Wengine ni Timu ya Menejimenti ya Halmashauri.

























Ukamilishaji wa Zahanati Kijiji cha Ngipa Kata ya Engusero.

Changamoto za mradi huu.

  • Upatikanaji wa Fedha ili kumalizia Mradi.

  • Jengo limepauliwa na kwa sasa lipo katika hatua ya umalizia kwa kujenga gebo na louvers , plasta, sakafu, skimming, kupiga rangi milango na madirisha,
    Mafundi wanapatikana mbali kwa hiyo gharama za mradi zinaongezeka toka utengenezaji hadi usafirishaji.

  • Gharama za utengenezaji wa milango na madilisha zinatoka mbali hivyo kupelekea gharama za mradi kuongezeka toka kutengeneza hadi kusafirisha.




Ukarabati wa Josho Kijiji cha Namelock.
Ukarabati umeshafanyika hadi sasa mradi unatumika kwa jamii husika kama unavyoziona picha hapo juu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa