• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI. WAAGIZWA KUPANDA MITI

Imetumwa : May 21st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mh. Remidius Mwema, ameagiza kila mwananchi wa kata ya Matui na Bwawani kupanda miti miwili katika msimu ujao wa mvua.


Maagizo hayo ameyatoa Mei 20, 2024 katika ziara alizofanya katika kata hizo. Lengo la ziara ilikua kujitambulisha na kusikiliza kero za wananchi katika kata hizo.


Aidha Mh. Mwema amewashauri  wananchi wa kata hizo kupanda miwa pembezoni mwa makorongo ili kuzuia kuongezeka kwa mmomonyoko katika maeneo hayo. Upandaji wa miwa utawasaidia pia wananchi hao kuwaongezea kipato.


Mbali na hayo, katika ziara hizo, Mh. Mwema alikemea vitendo vya  rushwa wa kuwaasa watumishi na wananchi kutotoa wala kupokea rushwa. Aidha alilisitiza wananchi wasije kulaghaiwa na mtu yoyote kwamba wachange fesha ili kwenda kumuona maana yeye  ni Mkuu wa Wilaya wa watu wote hivyo kumuona yeye haihitaji kutoa pesa yoyote.

Kuhusu migogoro mbalimbali wilayani hapo, Mh. Mwema amesema amedhamiria kuhakikisha sifa ya migogoro wilayani hapo inaisha. Aidha amesema kwamba yeye pamoja timu yake watapita kwenye nyanda zote za malisho ili kutatua migogoro katika nyanda hizo. Hata hivyo ametoa wito kwamba kama kuna mtu amevamia nyanda ni vyema akaondoka yeye mwenyewe ila endapo kuna mkulima amekutwa na nyanda, atapewa haki yake.


Vilevile katika kata zote mbili, Mh. Mwema amewaambia wananchi juu ya umuhimu  wanafunzi kula chakula shuleni  na kusema kwamba suala la chakula shuleni ni ajenda ya kitaifa.

Mbali na hayo, Mh. Mwema ameonya wafugaji wanaopitisha mifugo kwenye kwenye barabara na kuwaagiza watendaji kuwachukulia hatua wote wanaopitisha mifugo kwenye barabara. Halikadhalika, aliwaonya wakulima wanaolima mpaka kwenye hifadhi za barabara na kuagiza kuanzia msimu ujao wote watakaolima mpaka kwenye hifadhi za barabara watachukuliwa hatua.

https://www.instagram.com/p/C7OXn6wotqW/?igsh=MWpzenhrcmJ4azJyZg==

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa