• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"Watendaji wa Vijiji Tekelezeni Majukumu Yenu Migogoro Isiendelee Kuichafua Wilaya ya Kiteto ’’ DC Magessa

Imetumwa : February 26th, 2018


Mwenyekiti wa  Kikao cha DCC  Mhe. Tumaini Magessa akizungumza  wakati wa Kikao cha DCC kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto.

Wajumbe wa Kikao cha DCC wakiwa katika  Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto.

 Wajumbe wa Kikao cha DCC wakishauri juu ya masuala mbalimbali yanayohusu wilaya ya Kiteto wakati wa Kikao cha DCC kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri.

                                      Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili  la Kilutheri Tanzania usharika wa Kibaya akifanya sala baada ya mwenyekiti kufunga kikao cha DCC kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kiteto




....................HABARI KAMILI......................



"Watendaji  wa Vijiji Tekelezeni Majukumu  Yenu Migogoro Isiendelee kuichafua Wilaya ya Kiteto ’’ DC Magessa

Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mheshimiwa Tumaini Magessa amewataka watendaji wa vijiji wilayani Kiteto kutekeleza majukumu yao ili kumaliza migogoro inayotokea katika vijiji vyao .Mhe. Magessa ameyasema  hayo wakati akifungua kikao cha Kamati ya Ushauri ya  Wilaya ( DCC) kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri.


Mheshimiwa Magessa amesema  kwamba migogoro  yote inayoendelea wilayani Kiteto inawezekana kwisha kabla ya kufika ofisini kwake ikiwa watendaji wa vijiji watafanya kazi zao kama inavyotakiwa, kwa sababu wao ndio wanaoishi na wananchi ,wanatakiwa kuigundua migogoro inayotokea katika vijiji vyao na kuishughulikia ili kuitatua .Akitoa maelekezo kwa  watendaji wa vijiji kuhusu namna  ya kushughulikia migogoro hiyo Mhe. Magessa anasema ‘‘kila mtendaji awe na  rejista ya migogoro, inayoonyesha migogoro yote , na nini  kijiji kimefanya juu ya migogoro hiyo. Atuambie mimi nimetatua  moja, mbili , nimeshindwa hapa.Tunapata shida sana  kwa sababu huko katika  ngazi ya vijiji watu hawafanyi kazi ,mambo ya uongo yanafika huku DC ndiye ninayekuja kuyagundua.Watu wanakuja na migogoro na uongo mwingi.Ukisinzia kidogo uongo huo unapita’’.


Aidha  Mhe. Magessa amesema  kwamba kuna kazi  kubwa sana  ya kufanya ili mambo yaende na yaishie katika ngazi za vijiji.Kazi hiyo ni kuwafanya watendaji wawajibike ipasavyo. Akisisitiza kuhusu uwajibikaji kwa watendaji wa vijiji,Mhe. Magessa anasema “Watendaji  wa vijiji fanyeni  kazi, migogoro ikifika katika ofisi zenu za vijiji, ishughulikiwe hapo, iishe  isiendelee kuichafua wilaya yetu”. Kadhalika Mhe. Magessa amesema kwamba watendaji wakifanya kazi,  migogoro mingi itashughulikiwa  katika ngazi za vijiji na vitongoji na ikifika katika ngazi ya wilaya ,utatuzi wake utakuwa umekamilika. Na kwamba ni kwa namna hiyo tu  ndio watafanikiwa kumaliza migogoro wilayani Kiteto.



.................... MWISHO ......................


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUA: HATIMAYE KALOLENI YAPATA SHULE MPYA YA MSINGI

    July 30, 2025
  • SHULE YA MSINGI KINANGALI NAYO YANUFAIKA NA MRADI WA BOOST

    July 30, 2025
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUWEKEZA KWA VITENDO: KURASH YAPATA MRADI MWINGINE WA MILIONI 153 KUPITIA BOOST

    July 30, 2025
  • KATA YA BWAWANI YAPATA MRADI WA SHULE MPYA YA ELIMU MSINGI.

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa