• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Watendaji wa Kata Kusimamia Sheria Ndogo ya Kudhibiti Sumukuvu.

Imetumwa : July 12th, 2024

Watendaji wa Kata zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto wamehudhuria warsha iliyoandaliwa na Wizara ya Kilimo. Warsha hiyo ambayo imefanyika Julai 12,2024 katika Ukumbi wa Halmashauri ilikua na lengo la kuwapitisha watendaji hao kwenye vipengele muhimu vya Sheria Ndogo ya Kudhibiti Sumukuvu.

Akiongea katika warsha hiyo, Afisa Kilimo Mkuu kutoka Wizara ya Kilimo Ndg. Magreth Natai amesema kwamba kutokana na athari ambayo iliwakuta watanzania kutokana na sumukuvu, serikali iliona kuna haja ya kuwa na Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu (TANIPAC).

Katika kukabiliana na madhara ya sumukuvu kitu cha kwanza ambacho mradi kilifanya ni kutoa mafunzo kwa wakulima na wadau wa mazao jinsi ya kuepukana na sumukuvu.

Mafunzo hayo yalijumuisha elimu mbalimbali ikiwepo kufuata taratibu zote za kilimo kuanzia kupanda kwa wakati, kuvuna kwa wakati na namna ya kuhifadhi mazao.

Aidha TANIPAC katika kudhibiti sumukuvu imeweza kujenga pia maghala pamoja na maabara.

Ndg. Natai ameongeza kwa kusema kwamba, baada ya mafunzo  serikali iliona kuna haja ya kuja na sheria ndogo ambazo zimelenga kuhakikisha yale ambayo wakulima wamefundishwa wanayafuta.

Katika warsha hiyo, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria (W), Wakili Chistopher Donald, amewapitisha watendaji hao kwenye vipengele vyote vya Sheria hiyo Ndogo ya Kuthibiti Sumukuvu lengo likiwa ni kuwajengea watendaji hao uwezo wa kwenda kusimamia sheria hiyo kwenye kata zao.

Nae Msimamizi wa mradi huo wilayani Kiteto Ndg. Balabala Pundugu amesema kwamba wilayani Kiteto mradi umeweza kufanya ujenzi wa ghala la kudhibiti sumukuvu pamoja na maabara. Ghala hilo ambalo lina uwezo wa kuchukua tani 2000 limejengwa katika kata ya Engusero.

Aidha Ndg. Pundugu ameongeza kwa kusema kwamba mradi pia umeweza kufanya uanzishaji wa mashamba ya mfano kwa wakulima 3000.

Mbali na hayo Mradi umeweza kutoa mafunzo kuhusu jinsi ya kudhibiti sumukuvu kwa makundi mbalimbali ikiwemo kwa wakulima, wataalamu wa kilimo, madiwani, wasindikaji, wasafirishaji na wafanyabiashara. Vilevile mafunzo hayo yalitolewa kwa viongozi wa Chama Tawala pamoja na kwa vijana mafundi ambao walipewa elimu ya kutengeneza vihenge vya chuma kwaajili ya kuhifadhia mazao.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "MATUMIZI YA KUNI YALIMNYIMA USINGIZI MHE. RAIS”

    July 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA WILAYANI KITETO

    July 13, 2025
  • MIRADI MITATU YAWEKEWA MAWE YA MSINGI.

    July 10, 2025
  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa