• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI NAPE AIAGIZA UCSAF KUJENGA MNARA KIJIJI CHA MAKAME

Imetumwa : May 13th, 2024

Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mh. Nape Moses Nnauye, ameuagiza Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) ambao upo chini ya wizara yake, kujenga mnara wa mawasiliano katika kijiji cha Makame wilayani Kiteto..

Maagizo hayo ameyatoa Mei 13, 2024 katika kijiji cha Kinua kilichopo kata ya Namelock katika Wilaya ya Kiteto kwenye ziara yake ya kukagua upatikanaji wa huduma ya mawasiliano kijijini hapo.

Upatikanaji wa mawasiliano katika kijiji cha Kinua umekuja baada ya kujengwa na kuwashwa  kwa mnara wa Airtel ambao umejengwa kwa ubia pamoja na UCSAF, mfuko ambao una jukumu la kupeleka mawasiliano kwenye maeneo ambayo hayana mvuto wa kibiashara kwa makampuni ya simu.

Akiongea na wananchi katika kijiji cha Kinua mara baada ya kumaliza kukagua mnara huo, Mh. Nape amewaambiwa wananchi hao kua upatikanaji wa mawasiliano katika kijiji hicho ni juhudi pia za mbunge wa Jimbo la Kiteto Mh. Edward Olelekaita ingawa kijiji cha Makame ambapo anatokea Mbunge huyo hakuna huduma ya mawasiliano ila Mbunge huyo hakua mbinafsi wala hakutaka kujipendelea. Kutokana na moyo huo wa kizalendo na upendo wa Mbunge huyo, Mh. Nape ameiagiza UCSAF kuhakikisha mnara unajengwa katika kijiji hicho cha Makame.

Aidha Mh. Nape amesema kwamba serikali imepeleka mawasiliano kwasababu dunia ya leo mawasiliano ni haki ya binadamu hivyo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapa wananchi haki hiyo.

Vilevile aliongeza kwa kusema kwamba katika Kijiji cha Kinua hakuna huduma za kibenki ndio maana wakajengewa mnara ili kuwezesha kuwasiliana na kuwawezesha kupata huduma za kibenki.

“Tunapoenda, huduma nyingi za serikali zitawekwa kwenye mitandao mfano tumeanza majaribio ya kuomba barua ya utambulisho. Huduma nyingi zitaongezwa kwahiyo ndugu zangu tumewaletea maisha kwani mawasiliano ni maisha”, ameongeza Mh. Nape.

Mh. Nape ameipongeza UCSAF na pia aliishukuru kampuni ya simu ya Airtel kwa kuwawezesha wananchi wa kijiji hicho kupata mawasiliano.

Aidha aliwaasa wananchi wa kijiji hicho kuhakikisha wanalinda miundombinu ya mawasiliano kwani inajengwa kwa gharama kubwa na imejengwa kwa manufaa yao wananchi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa