• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WILAYA YA KITETO YAADHIMISHA SIKU YA LISHE KITAIFA.

Imetumwa : October 30th, 2023

Oktoba 30,2023, Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto imeadhimisha Siku ya Lishe Kitaifa katika Shule ya Sekondari Kibaya.

Katika maadhimisho hayo, Afisa Lishe (W), Bi Beatrice Lutanjuka akiongozana na wataalam wengine wa lishe kutoka katika ofisi yake, walitoa elimu kuhusu ulaji wa mlo kamili kwa vijana rika balehe shuleni hapo.

Vilevile katika maadhimisho hayo, Bi Lutanjuka alitumia jukwaa hilo kuhamasisha utekelezaji wa afua ya utoaji wa chakula na lishe        shuleni kwa kueleza faida za utoaji wa chakula na lishe        shuleni.

“Zipo faida nyingi za ulaji wa chakula shuleni ikiwemo kuongeza ufaulu, kuongeza mahudhurio na pia hata kujenga umoja kati yenu hivyo niwaombe  muwafikishie wazazi wenu ujumbe kuhusu kutekeleza agizo la kuleta chakula shuleni ili wote muweze kupata chakula shuleni na kwasasa kula shuleni sio hiyari bali ni lazma” aliongeza Bi. Lutanjuka.

Mbali na hayo,  katika maadhimisho hayo Bi Lutanjuka pamoja na timu yake walikagua bustani ya mboga shuleni hapo na kutoa ushauri kwa uongozi wa shule kuongeza  bustani ya matunda maana kwa sasa shule hiyo ina bustani ya mbogamboga tu.

Hali kadhalika, wataalam hao wa lishe walifanya  tathmini ya hali ya lishe kwa vijana balehe 114.  Katika tathmini hiyo 15 % ya vijana hao  walibainika kua na uzito pungufu, 9% walionekana kua na uzito uliozidi na 2% ya vijana hao walibaika kua na uzito mkubwa zaidi. Kutokana matokeo hayo wataalam hao walitoa ushauri nahisi kuhusiana na lishe kwa kijana mmoja mmoja  ambao katika tathimini hiyo walibainika kua uzito pungufu, uzito uliozidi na uzito mkubwa zaidi.

Kitaifa maadhisho ya Siku ya Lishe yamefanyika Mkoa wa Pwani Oktoba 30, 2023 na  kauli mbiu ya mwaka huu  ni; “Lishe Bora kwa Vijana Balehe, Chachu ya Mafanikio Yao”.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • TUUENZI MUUNGANO WETU

    April 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa