• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA BILIONI 1.8 ZA BOOST KUBORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU KITETO: DC MWEMA ASISISTIZA UWAJIBIKAJI

Imetumwa : July 24th, 2025

Katika hatua inayodhihirisha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuboresha elimu nchini, Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema Emmanuel, ameongoza kikao maalum cha kutambulisha miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8 kwaajili ya shule 11 wilayani hapa.


Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika Julai 24, 2025, Mhe. Mwema alisema fedha hizo za program.ya BOOST  kutoka Serikali Kuu chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni kielelezo cha upendo kwa wana Kiteto, na aliahidi  kusimamia utekelezaji wa miradi hiyo kwa umakini ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na katika  ubora  wa hali ya juu. 

"Kwasababu miradi hii ina jicho la tatu, watu wote wanaohusika kwenye mifumo naomba msimamie vizuri, nasisitiza sana mkasimamie vizuri," alisema kwa msisitizo Mhe. Mwema.


Aliitaka  Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kuweka mpango thabiti wa usimamizi, ukadiriaji sahihi wa vifaa. Vilevile kwa wasimamizi wa miradi ngazi ya chini aliwasisitiza kuwa makini na uteuzi wa wazabuni na mafundi. Alionya dhidi ya kuwatumia  wazabuni na mafundi wasio na uwezo, akisema mara nyingi wamekuwa chanzo cha ucheleweshaji wa miradi.


Katika kikao hicho, Afisa kutoka TAKUKURU, Ndg. EliBrighton Mmari  alisisitiza wajumbe wote kuwa waaminifu na waadilifu, akibainisha kuwa taasisi hiyo itasimama bega kwa bega na halmashauri kuhakikisha hakuna mianya ya rushwa katika utekelezaji wa miradi hiyo.


Kikao hicho kilihudhuriwa na wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, viongozi wa Chama na Serikali na watendaji wa vijiji na kata kutoka sehemu ambazo miradi hiyo itatekelezwa.


Fedha za kutekeleza miradi hiyo ambayo ni  shilingi 1,881,000,000  zimekwisha kuingizwa kwenye akaunti za shule hizo toka wiki ya kwanza ya Julai 2025.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUA: HATIMAYE KALOLENI YAPATA SHULE MPYA YA MSINGI

    July 30, 2025
  • SHULE YA MSINGI KINANGALI NAYO YANUFAIKA NA MRADI WA BOOST

    July 30, 2025
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUWEKEZA KWA VITENDO: KURASH YAPATA MRADI MWINGINE WA MILIONI 153 KUPITIA BOOST

    July 30, 2025
  • KATA YA BWAWANI YAPATA MRADI WA SHULE MPYA YA ELIMU MSINGI.

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa