Imetumwa : May 30th, 2024
Zaidi ya wagonjwa 400 waliogundulika kua na ugonjwa wa trakoma/vikope wamepatiwa matibabu katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto katika mpango maalumu ya kutokomeza ugonjwa huo wilayani hapo.
Hayo ...
Imetumwa : May 23rd, 2024
Timu ya wataalamu kutoka Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Mei 22,2024 imetembelea Wilaya ya Kiteto na kufanya kikao kujadili changamoto zilizojitokeza katika uuzaji wa zao la mbaazi ku...
Imetumwa : May 21st, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mh. Remidius Mwema, ameagiza kila mwananchi wa kata ya Matui na Bwawani kupanda miti miwili katika msimu ujao wa mvua.
Maagizo hayo ameyatoa Mei 20, 2024 katika z...