Imetumwa : September 11th, 2025
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kiteto Ndugu. Mufandii Msaghaa amewasihi wananchi kujenga tabia ya kuwekeza katika mifuko na maeneo mbalimbali ya kifedha ili kujiwekea akiba na maandalizi ya maisha ya baad...
Imetumwa : September 4th, 2025
Katika mwili wa binadamu, ini ni kiungo muhimu kinachohusika na kuchuja na kuondoa sumu zinazotengenezwa mwilini, kumeng’enya virutubisho, kutengeneza nyongo na protini na pia ini linahusika kwe...
Imetumwa : August 31st, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema, Agosti 29, 2025, alifungua rasmi Zahanati ya Engusero Sidan ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi milioni 51, hatua inayotafsiriwa na wan...