Imetumwa : June 27th, 2017
Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Ndg. Tumaini Magesa ambaye alikuwa mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (PSSN) wakati wa zoezi la utoaji za Vitambulisho ...
Imetumwa : July 10th, 2017
Bw. Sempeho Manongi ( Meneja wa SIDO mkoa wa Manyara) akitoa ufafanuzi kuhusu Mkakati wa uanzishwaji na uendelezwaji Kongano wilayani Kiteto.
Mkuu wa wilaya ya Kiteto...
Imetumwa : June 30th, 2017
Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Lairumbe Mollel (wa kushoto) Akisoma Dua Maalumu Wakati wa Kufungua Kikao hiyo.
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wila...