Imetumwa : April 15th, 2017
Aprili - 2017, Kamati ya Ulinzi na Usalama Kiteto, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya (DC) Mh.Tumaini Magessa, wakiwa na mtuhumiwa Geoge Juma (50) mwenye shati la kijani akiwa na mwanae wa Pori Namba Mbili ...
Imetumwa : April 22nd, 2017
Leo tarehe 22.04.2017 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw.John Malle (aliyeshika Mic) amezindua Mnada wa Njoro ulioko Kata ya Njoro umbali wa Kilometa 17 toka Makao Makuu ya Wilaya ya Kiteto ...
Imetumwa : March 23rd, 2017
Taarifa kwa Watumishi wa Umma Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.
Ofisi za NIDA ngazi ya Wilaya ya Kiteto inaendelea na zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Taifa kwa watumishi wote wa Halmashauri amb...