Imetumwa : November 19th, 2023
Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Makame (WMA Makame), imeingia mkataba mpya wenye thamani ya shilingi bilioni 10 na kampuni iitwayo UNTAMED Horizons Camps & Safaris LTD.
Mka...
Imetumwa : November 22nd, 2023
Halmashauri ya Wilaya Kiteto imepokea takribani kiasi cha fedha shilingi bilioni 13.7 kwaajili kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta ya Afya, Elimu, Utawala, Kilimo na Mifugo.
Hayo yame...
Imetumwa : November 15th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mh. Queen Cuthbert Sendiga, amewaagiza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilayani Kiteto kuhakisha wanaboresha barabara zote wilayani hapo ili ziweze kupitika ...